Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), kando ya Mkutano Mkuu wa mwaka 2025 ambao utakuwa wa 60 wa Bodi ya Magavana wa ADB na wa 51 kwa ADF, unaonza leo tarehe 26 hadi 30 Mei 2025 katika Hoteli ya Sofitel Ivoire, Abidjan, Côte d’Ivoire, na utajumuisha uchaguzi wa Rais na Wakurugenzi Watendaji wa Taasisi hiyo baada ya Rais wake wa sasa, Dkt. Akwinumi Adesina, kumaliza muda wake.
Siku ya Familia Duniani: Wito wa Kudhibiti Ongezeko la Watu Kuokoa Uchumi
wa Taifa
-
KATIKA maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani, wito umetolewa kwa familia
za Tanzania kuzingatia uzazi wa mpango kama njia muhimu ya kujenga familia
imara...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment