MCHUNGAJI PETER MSIGWA AHAMIA CCM, AIPONDA CHADEMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday 30 June 2024

MCHUNGAJI PETER MSIGWA AHAMIA CCM, AIPONDA CHADEMA


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa mara baada ya kutangaza rasmi kujiunga na CCM wakati wa Kikao cha NEC Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Juni, 2024. Mchungaji Msigwa aliwahi pia kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema pamoja na kushuka Nyadhifa mbalimbali ndani ya Chama hicho.


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa akitambulishwa wakati wa Kikao cha NEC Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Juni, 2024. Mchungaji Msigwa aliwahi pia kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema pamoja na kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chama hicho.


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa akitambulishwa wakati wa Kikao cha NEC Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Juni, 2024. Mchungaji Msigwa aliwahi pia kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema pamoja na kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Chama hicho.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa akikabidhiwa mavazi ya CCM baada ya kuvua gwanda.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa akitambulishwa wakati wa Kikao cha NEC Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Juni, 2024. 

No comments:

Post a Comment