TTCL CORPORATION WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI, DAR - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 2 May 2024

TTCL CORPORATION WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI, DAR

Wafanyakazi wa TTCL Corpporation wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”


Wafanyakazi wa TTCL Corpporation wakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.


Magari ya kazi ya TTCL Corpporation yakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.



Magari ya kazi ya TTCL Corpporation yakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (katikati) akiwapungia wafanyakazi mbalimbali wakipita katika maandamano wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.


Sehemu ya Wafanyakazi wa TTCL Corpporation wakiwa kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”


 Shamrashamra kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”






 Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”

No comments:

Post a Comment