Magari ya kazi ya TTCL Corpporation yakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. |
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 19, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 19, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment