WAZIRI BASHUNGWA ASHUHUDIA ZAIDI YA WAKANDARASI 300 WAKILA KIAPO CHA KUTII…! - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 27 February 2024

WAZIRI BASHUNGWA ASHUHUDIA ZAIDI YA WAKANDARASI 300 WAKILA KIAPO CHA KUTII…!

 

Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na washiriki wa Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katika hafla hiyo zaidi ya wahandisdi 300 wameapishwa kuingia rasmi katika hatua hiyo.

Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na washiriki wa Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katika hafla hiyo zaidi ya wahandisdi 300 wameapishwa kuingia rasmi katika hatua hiyo.

Viongozi mbalimbali meza kuu kwenye Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katika hafla hiyo zaidi ya wahandisdi 300 wameapishwa kuingia rasmi katika hatua hiyo.

Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza wakati akihutubia.


Washiriki Katika Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, wakifuatilia mada anuai zikiwasilishwa kwenye hafla hiyo.

Zaidi ya Wakandarasi 300 wapya wakila kiapo cha kutii kanuni, vigezo na taratibu katika utekelezaji wa majukumu yao kwenye hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP).

Zaidi ya Wakandarasi 300 wapya wakila kiapo cha kutii kanuni, vigezo na taratibu katika utekelezaji wa majukumu yao kwenye hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP).

Wakili Mercy Jilala (kushoto) akiwaapisha zaidi ya Wakandarasi 300 wapya waliokula kiapo cha kutii kanuni, vigezo na taratibu katika utekelezaji wa majukumu yao kwenye fani hiyo.

Sehemu ya washiriki Katika Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, wakifuatilia mada anuai zikiwasilishwa kwenye hafla hiyo.

Msajili wa Bodi ya Wakandarasi Tanzania (ERB), Eng. Bernard Kavishe akizungumza na wajumbe washiriki wa Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katika hafla hiyo zaidi ya wahandisdi 300 wameapishwa kuingia rasmi katika hatua hiyo.

Sehemu ya washiriki Katika Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, wakifuatilia mada anuai zikiwasilishwa kwenye hafla hiyo.

Sehemu ya washiriki Katika Maadhimisho ya Miaka 21 ya Utekelezaji wa Programu ya Mafunzo kwa Wahandisi Wahitimu (SEAP) hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, wakifuatilia mada anuai zikiwasilishwa kwenye hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment