DR.SAMIA AZUNGUMZA MKUTANO WA KILIMO NA USALAMA WA CHAKULA NORWAY - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday, 14 February 2024

DR.SAMIA AZUNGUMZA MKUTANO WA KILIMO NA USALAMA WA CHAKULA NORWAY

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa Kilimo na Usalama wa Chakula uliofanyika katika Jengo la Climate, Oslo Nchini Norway.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa Kilimo na Usalama wa Chakula uliofanyika katika Jengo la Climate, Oslo Nchini Norway

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia magome ya miti ambayo yamehifadhiwa katika Jengo la Climate, Oslo 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Donge la Barafu na jinsi linavyoyeyuka kutokana na mabadiliko ya Tabianchi mara baada ya kuwasili katika jengo la Climate House Jijini Oslo Nchini Norway tarehe 14 Februari, 2024. Kushoto ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Oslo Profesa Svein Stølen akiwa pamoja na Mwanamfalme wa Haakon wa Norway 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mkuu wa Chuo Kikuu cha Oslo Profesa Svein Stølen wakati akimuelezea Mnyama aina ya Dubu (Bear) katika jengo la Climate House iliyopo Jijini Oslo Nchini Norway 

No comments:

Post a Comment