MKANDARASI ONGEZA KASI UJENZI WA JENGO LA WIZARA: BASHUNGWA - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday, 29 January 2024

MKANDARASI ONGEZA KASI UJENZI WA JENGO LA WIZARA: BASHUNGWA

 

Kazi zikiendelea za ujenzi wa jengo la Wizara ya Ujenzi katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.

Mtendaji Mkuu wa Vikosi vya Ujenzi Eng. Simeon Machibya, akitoa taarifa kwa Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la Wizara ya Ujenzi katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, Januari 29, 2024.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, akifafanua jambo kwa Mkandarasi Vikosi vya Ujenzi na Mshauri Elekezi wa mradi kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wanaotekeleza ujenzi wa jengo la Wizara katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, Januari 29, 2024.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, wakikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Wizara katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, Januari 29, 2024.

No comments:

Post a Comment