 |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya
Hanang kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Katesh
Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023. Rais Samia alifika Katesh kwa ajili ya
kuwapa pole wananchi wa maeneo hayo ambao wameathirika na mafuriko yaliyotokea
hivi karibuni |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waathirika wa Mafuriko waliopo kwenye kambi
zao Katesh, Wilayani Hanang mkoani Manyara
Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wakiwa
na huzuni wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuwapa pole wananchi wa Katesh,
Hanang mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023
 |
| Viongozi mbalimbali pamoja
na wananchi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi
Katesh Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023 |
No comments:
Post a Comment