NMB YAZINDUWA JAMII BONDI, ITATOA RIBA YA 9.5 - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 26 September 2023

NMB YAZINDUWA JAMII BONDI, ITATOA RIBA YA 9.5

 

Msajili wa Hazina, Bw. Nehemia Mchechu (katikati) pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede (kulia) na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO), Ruth Zaipuna kwa pamoja wakionesha mikono juu kuashiria uzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

Msajili wa Hazina, Bw. Nehemia Mchechu (katikati) akimpongeza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede (kulia)  mara baada ya kuzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya viongozi na wageni waalikwa wakiwa katika uzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede akiwasilisha hotuba yake kwenye uzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

Afisa Mtendaji Mkuu (CEO), Ruth Zaipuna akizungumza kabla ya uzinduzi rasmi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya viongozi na wageni waalikwa wakiwa katika uzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya viongozi na wageni waalikwa wakiwa katika uzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.


Msajili wa Hazina, Bw. Nehemia Mchechu akizungumza na wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Jamii Bondi ya NMB hafla iliyofanyika Serena Hotel leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment