Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Christopher Kadio akisaini nyaraka za makabidhiano wakati wa hafla ya kumkabidhi ofisi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Maduhu Kazi baada ya kustaafu utumishi wa umma. Makabidhiano hayo yamefanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali waliopo katika Wizara hiyo. (Picha na Jeshi la Polisi)
WADAU WAKUTANA KUZUNGUMZIA MRADI WA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE WA
KIMATAIFA CHA SERENGETI
-
WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege
Tanzania (TAA) Jumapili April 20, 2026 wamekutana na wadau mbalimbali
kuzungumzia m...
2 hours ago

.jpg)

No comments:
Post a Comment