Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Christopher Kadio akisaini nyaraka za makabidhiano wakati wa hafla ya kumkabidhi ofisi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Maduhu Kazi baada ya kustaafu utumishi wa umma. Makabidhiano hayo yamefanyika Makao Makuu ya Wizara hiyo jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali waliopo katika Wizara hiyo. (Picha na Jeshi la Polisi)
Jinsi TPSC Mbeya Ilivyoadhimisha Miaka 25 kwa Matendo ya Upendo kwa Watoto
Yatima
-
Mbeya- Jumanne, Machi 31, 2026
Katika kuadhimisha miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),
Kampasi ya Mbeya imefanya shughuli za kijamii, ik...
2 hours ago

.jpg)

No comments:
Post a Comment