SHAKA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI MANYARA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 14 May 2022

SHAKA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI MANYARA

Katibu  wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa  Shaka Hamdu Shaka, Akipewa Rungu na Laiguanani Mkuu wa Jamii ya Watu wa Simanjiro ikiwa ni Ishara ya Kumsimika kuwa kiongozi wa Ngazi ya Juu katika jamii hiyo na Kumpa Jina La “OLE SHAKA”


Wanachama Mbalimbali wakinyanyua Vipeperushu Juu wakati wa Mkutano wa Ndani wa Katibu CCM wa Itikadi na Uenezi Taifa  Shaka Hamdu Shaka,pamoja na Viongozi na Wanachama wa Mkoa wa Manyara 


Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Shaka Hamdu Shaka, ambaye ni mlezi wa CCM mkoa wa Manyara   akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Wa Manyara Mhe Makongoro Nyerere alipowasili mkoani Manyara kwa ziara ya siku mbili kukagua uhai wa chama.

No comments:

Post a Comment