BENKI YA NMB YAFUTURISHA WABUNGE VIWANJA VYA BUNGE, DODOMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday 25 April 2022

BENKI YA NMB YAFUTURISHA WABUNGE VIWANJA VYA BUNGE, DODOMA

Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akizungumza wakati wa hafla ya kufuturisha wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Benki ya NMB - Filbert Mponzi akizungumza wakati wa hafla ya kufuturisha Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene (wa kwanza kutoka kulia), Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB - Filbert Mponzi na Afisa Mkuu wa Mkaguzi wa Ndani wa Benki ya NMB, Benedicto Baragomwa (kushoto) wakati wa Futari iliyofanyika katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment