KATIKA KUELEKEA MIAKA 60 YA UHURU- MHE. RAIS SAMIA AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA NYAYA ZA MAWASILIANO CHA RADDY FIBER MANUFACTURING TANZANIA LTD - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday 3 December 2021

KATIKA KUELEKEA MIAKA 60 YA UHURU- MHE. RAIS SAMIA AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA NYAYA ZA MAWASILIANO CHA RADDY FIBER MANUFACTURING TANZANIA LTD

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha kutengeneza Nyaya za Mawasiliano cha Raddy Fiber Manufacturing Tanzania Limited wakati akipita kukagua hatua mbalimbali za utengenezaji wa nyaya hizo za Mawasiliano Fiber katika kiwanda hicho kilichopo Mkuranga mkoani Pwani leo tarehe 03 Desemba, 2021.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha kutengeneza Nyaya za Mawasiliano cha Raddy Fiber Manufacturing Tanzania Limited wakati akipita kukagua hatua mbalimbali za utengenezaji wa nyaya hizo za Mawasiliano Fiber katika kiwanda hicho kilichopo Mkuranga mkoani Pwani leo tarehe 03 Desemba, 2021.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kama ishara ya kuzindua Kiwanda cha kutengeneza Nyaya za Mawasiliano cha Raddy Fiber Manufacturing Tanzania Limited kilichopo Mkuranga mkoani Pwani leo tarehe 03 Desemba, 2021.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Kiwanda cha kutengeneza Nyaya za Mawasiliano cha Raddy Fiber Manufacturing Tanzania Limited kilichopo Mkuranga mkoani Pwani leo tarehe 03 Desemba, 2021. Wengine katika picha kutoka kulia wa kwanza ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji Geoffrey Mwambe pamoja na Mtendaji Mkuu wa Kiwanda hicho Ramadhani Hassani Mlanzi.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mbagala katika eneo la Zakhem wakati akielekea kuzindua Kiwanda cha kutengeneza Nyaya za Mawasiliano kilichopo Mkuranga mkoani Pwani leo tarehe 03 Desemba, 2021. PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment