Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Miradi kutoka Taasisi ya Suzan Thompson Buffet (The Suzan Thomson Buffet Foundation) Profesa Sinait Feisseno mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 31 Mei, 2021.
No comments:
Post a Comment