![]() |
| Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe akitoa maelekezo alipokuwa akizungumza jambo alipokagua ujenzi wa Daraja la Kiyegeya lililopo wilayani Gairo. |
![]() |
| Shughuli za ujenzi zikiendelea katika Daraja la Kiyegeya lililopo wilayani Gairo - barabara kuu ya kutoka Morogoro kwenda Dodoma. |
![]() |
| Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe akikagua maendeleo ya ujenzi Daraja la Kiyegeya. |
![]() |
| Licha ya Ujenzi wa Daraja la Kiyegeya unaendelea huduma za kuvusha magari nayo inaendelea eneo hilo, baadhi ya magari yakipita kwenye daraja hilo. |
![]() |
| Licha ya Ujenzi wa Daraja la Kiyegeya unaendelea huduma za kuvusha magari nayo inaendelea eneo hilo, baadhi ya magari yakipita kwenye daraja hilo. |








No comments:
Post a Comment