![]() |
Picha ya pamoja ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli na viongozi waandamizi wa Benki ya NMB mara baada ya hafla ya upokeaji wa gawio na michango kwa Serikali iliofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma mapema leo. |
Wahitimu 71 Waaga Rasmi AKU, Wajipanga Kuleta Mabadiliko
-
CHUO Kikuu cha Aga Khan (AKU) kimefanya mahafali 20 kwa mwaka wa masomo
2024/2025, ambapo wahitimu 71 kutoka fani mbalimbali wamepokea shahada...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment