RAIS DK MAGUFULI AKIFUNGUA KIWANDA CHA 21st CENTURY FOOD AND PACKAGING LTD DAR - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 1 August 2019

RAIS DK MAGUFULI AKIFUNGUA KIWANDA CHA 21st CENTURY FOOD AND PACKAGING LTD DAR


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli wapili kutoka kushoto, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Mohamed Dewji, Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa, akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kiwanda cha 21st Century Food and Packaging kilichopo jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha 21st Century Food and Packaging Mohamed Dewji mara baada ya uzinduzi wa kiwanda hicho.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha 21st Century Food and Packaging Mohamed Dewji mara baada ya uzinduzi wa kiwanda hicho.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi mara baada ya kufungua kiwanda hicho jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo ya kutoka kwa Mkurugenzi wa Kiwanda cha 21st  Century Food and Packaging Mohamed Dewji kuhusu ubora wa bidhaa mbalimbali za kiwanda hicho jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment