NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AKAGUA MIUNDOMBINU YA UJENZI MKOANI RUVUMA - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday, 2 August 2019

NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AKAGUA MIUNDOMBINU YA UJENZI MKOANI RUVUMA


Mhandisi mshauri wa ujenzi wa barabara ya Lusitu- Mawengi km 50 ambayo ni sehemu ya barabara ya Itoni-Ludewa-Manda km 211.4 Moon Dong Ryeol akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo.


Kazi ya ujenzi wa barabara ya Lusitu- Mawengi km 50 inayojengwa kwa zege ikiendelea, barabara hiyo ni sehemu ya barabara ya Itoni-Ludewa-Manda km 211.4. 


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa akisambaza zege alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Lusitu- Mawengi km 50 wilayani Ludewa mkoani Njombe.


Muonekano wa barabara ya Lusitu- Mawengi km 50 inayojengwa kwa   zege ambayo ni sehemu ya barabara ya Itoni-Ludewa-Manda km 211.4 mkoani Njombe. 


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa pamoja na wataalam wake wakifurahia kupita juu ya blanketi lililofunika barabara ya Lusitu- Mawengi km 50 inayojengwa kwa zege katika kijiji cha Mselesele Wilayani Ludewa.


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa akikagua daraja la Mkenda katika mto Ruvuma, daraja hilo linaunganisha nchi za Tanzania na Msumbiji na linatarajiwa kujengwa sambamba na barabara ya Lukuyufusi-Mkenda km 124, kulia ni mkuu wa Wilaya ya Songea Bw, Porleto Mgema na katikati ni Meneja wa Wakala wa barabara (TANROADS), mkoa wa Ruvuma Eng. Razak Alinanuswe.


Muonekano wa daraja la Mkenda mkoani Ruvuma daraja hilo linaunganisha nchi za Tanzania na Msumbiji kupitia mto Ruvuma.


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa akitoa maelekezo kwa mhandisi mshauri wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Songea Eng, Deo Mugishangwe (kulia) na mkuu wa Wilaya ya Songea Bw, Porleto Mgema (kushoto), alipokagua ukarabati wa uwanja huo.
Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Agosti 2,2019.

No comments:

Post a Comment