RAIS WA KENYA UHURU KENYATTA AWASILI CHATO MKOANI GEITA, RAIS MAGUFULI AMLAKI...! - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday 5 July 2019

RAIS WA KENYA UHURU KENYATTA AWASILI CHATO MKOANI GEITA, RAIS MAGUFULI AMLAKI...!


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita kwa ziara binafsi ya siku mbili.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita kwa ziara binafsi ya siku mbili.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakati wakipita kwenye Gadi ya Heshma iliyoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita kwa ziara binafsi ya siku mbili.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakati wakiangalia vikundi vya Kwaya mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakati wakiangalia vikundi vya Kwaya mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakipungia mikono wananchi waliofika katika uwanja wa ndege wa Chato katika mapokezi ya Rais huyo wa Kenya.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakizungumza na wananchi wa Chato njiapanda wakati wakitokea uwanja wa Ndege wa Chato.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya kuwasili Chato.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakizungumza na wananchi wa Chato njiapanda wakati wakitokea uwanja wa Ndege wa Chato.

Ndege ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa Chato Mkoani Geita. PICHA NA IKULU.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akizungumza na wananchi wa Chato waliofika kumpokea katika uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita.

No comments:

Post a Comment