NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA NMB SABASABA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 9 July 2019

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA NMB SABASABA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan (kushoto) akiwa ndani ya Banda la Benki ya NMB alipotembelea banda hilo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba. Kulia ni Kaimu Meneja wa Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa, Bi. Saumu Mohamed Mollel akiwa na mgeni wake.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan akisaini kitabu cha wageni ndani ya Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa.

Kaimu Meneja wa Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa, Bi. Saumu Mohamed Mollel (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan alipotembelea Banda la NMB Sabasaba.

Wateja mbalimbali wa Benki ya NMB wakipata huduma ndani ya Banda la Benki hiyo walipotembelea Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba. 

No comments:

Post a Comment