Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis
Hafidh Hassan akisaini kitabu cha wageni ndani ya Banda la Benki ya NMB kwenye
Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa.
|
Wateja mbalimbali wa Benki ya NMB wakipata huduma ndani ya Banda la Benki hiyo walipotembelea Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba. |
No comments:
Post a Comment