![]() |
| Baadhi ya askari wakiwa wamepiga kambi eneo hilo lililojaa maji ili kuzuia magari na watu kwa usalama wao. |
![]() |
| Wanafunzi wakiwa eneo la Jangwani barabara ya Morogoro kutokea Magomeni wakiwa wameshindwa kupita sehemu hiyo baada ya kujaa maji. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi wakitafakari namna ya kuvuka eneo hilo la Jangwani baada ya kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi wakitafakari namna ya kuvuka eneo hilo la Jangwani baada ya kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam. |









No comments:
Post a Comment