Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Eng. Japhet Loisimaye akielezea namna taarifa zinazotolewa na TMA zinavyowasaidia wadau wa mamlaka hiyo kutekeleza majukumu yao, kwenye hafla ya maadhimisho ya siku ya Hali ya Hewa Duniani iliyoandaliwa na TMA jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi, Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Hamza Johari pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Elias Mwashiuya (kulia). |
No comments:
Post a Comment