WATAYARISHAJI wa maonesho makubwa ya German-Africa International Expo yanayokwenda sambamba na Afrika International Festival Tübingen, yatakayofanyika kuanzia 29 Julai mpaka 2 Augosti 2019 katika mjiwa Tübingen,nchini Ujerumani.
Wamefungua milango ya maombi kwa wale wanaotaka kushiriki katika maonyesho hayo, ambapo kutakuwa na maonesho ya makampuni ya kiafrika na bidhaa zao, maonyesho ya sanaa na utamaduni, na wale wenye makapuni ya shughuli za utalii wote mnakaribishwa kuwahi fursa.
Pia kutakuwa na semina ya wanahabari ambayo hiyo itakuwa ni maalumu kwa wanahabari wa kiafrika. Msikose kutumia fursa hii adimu ya kushiriki katika maonyesho haya ya kimataifa ambayo yana faida kubwa kwa wasanii, wanahabari, wanamitindo na makampuni (SMEs) na bidhaa zenu, nufaika kwa kujitangaza kimataifa.
TUTAKUWA WAKALI- DKT AKWILAPO
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
amesema watakuwa wakali kwa watumishi watakaokiuka tarati...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment