WATAYARISHAJI wa maonesho makubwa ya German-Africa International Expo yanayokwenda sambamba na Afrika International Festival Tübingen, yatakayofanyika kuanzia 29 Julai mpaka 2 Augosti 2019 katika mjiwa Tübingen,nchini Ujerumani.
Wamefungua milango ya maombi kwa wale wanaotaka kushiriki katika maonyesho hayo, ambapo kutakuwa na maonesho ya makampuni ya kiafrika na bidhaa zao, maonyesho ya sanaa na utamaduni, na wale wenye makapuni ya shughuli za utalii wote mnakaribishwa kuwahi fursa.
Pia kutakuwa na semina ya wanahabari ambayo hiyo itakuwa ni maalumu kwa wanahabari wa kiafrika. Msikose kutumia fursa hii adimu ya kushiriki katika maonyesho haya ya kimataifa ambayo yana faida kubwa kwa wasanii, wanahabari, wanamitindo na makampuni (SMEs) na bidhaa zenu, nufaika kwa kujitangaza kimataifa.
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo
Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment