| Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizungumza na wahandisi kabla ya kufunga rasmi Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania 2018. |
| Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa (wa tatu kushoto) pamoja na meza kuu wakishudia zoezi la kiapo kwa wahandisi wapya. |
| Ofisa wa viapo wa Serikali na Hakimu Mkazi Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, Wanjaha Hamza akisimamia zoezi la viapo kwa wahandisi wapya. |
| Sehemu ya washiriki wakifuatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa (hayupo pichani) |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania, Eng. Profesa Ninatubu Lema katika sherehe hizo. |

No comments:
Post a Comment