![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka udongo ndani ya kaburi la Marehemu Dada yake Monica Magufuli nyumbani kwao katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita. |
![]() |
| Jeneza lenye mwili wa marehemu Monica Joseph Magufuli likipelekwa Kanisani kwa ajili ya Misa takatifu Chato Mkoani Geita. |
![]() |
| Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Mkewe Mama Marry Majaliwa wakitoa heshma zao za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita. |
![]() |
Rais mstaafu wa awamu ya Tatu
Benjamin Mkapa akitoa heshma za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu
Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
|
![]() |
Baba Askofu mkuu Mwandamizi Yuda Thaddeus Ruwaichi akiongoza
Misa ya kumuombea Marehemu Monica
Magufuli Chato mkoani Geita
|










No comments:
Post a Comment