Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe (katikati) akiwa kwenye picha ya Pamoja na Wasajili wanaousika na chanjo za mifugo pamoja na wakurugenzi wanaozalisha vya chanjo za mifugo barani Afrika kwenye mkutano wa kujadili namna ya kuwa na mfumo wa pamoja wa kutokomeza ugonjwa wa sotoka ya mbuzi na kondoo tarehe 17 Juni 2025 katika Ukumbi wa King Jada Hotel uliopo jijini Dar es Salaam ambapo Mkutano huo umeanza tarehe 16 hadi 20 Juni 2025.
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment