Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe (katikati) akiwa kwenye picha ya Pamoja na Wasajili wanaousika na chanjo za mifugo pamoja na wakurugenzi wanaozalisha vya chanjo za mifugo barani Afrika kwenye mkutano wa kujadili namna ya kuwa na mfumo wa pamoja wa kutokomeza ugonjwa wa sotoka ya mbuzi na kondoo tarehe 17 Juni 2025 katika Ukumbi wa King Jada Hotel uliopo jijini Dar es Salaam ambapo Mkutano huo umeanza tarehe 16 hadi 20 Juni 2025.
WADAU TIBA ASILI,AFYA NA MAZINGIRA WASHAURIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Na Mwandishi Wetu
WADAU wote wa Tiba Asili, Afya na Mazingira nchini Tanzania wameshauriwa
kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali, mashirika na jamii k...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment