Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Bi. Martha Chassama amekutana na kuzungumza na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasilino wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Bi. Catherine Sungura na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Masoko wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Bw. Athumani Shariff katika kikao kifupi kilichofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kifupi kililenga kujengeana uwezo wa taasisi hizo hususan katika maeneo ya vijijini ili kuongeza chachu katika maeneo hayo.
WAZIRI MCHENGERWA KUSHIRIKI MKUTANO WA DUNIA KUHUSU TIBA ASILI, KUFANYA
MAZUNGUMZO NA MAWAZIRI WA AFYA
-
Na John Mapepele, New Delhi
Waziri wa Afya wa Tanzania, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amewasili New
Delhi, nchini India, tayari leo kushiriki Mkutano wa p...
9 minutes ago


No comments:
Post a Comment