SHAMRA SHAMRA KATIKA MKUTANO WA RAIS SAMIA NA WANANCHI BARIADI SIMIYU - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday, 18 June 2025

SHAMRA SHAMRA KATIKA MKUTANO WA RAIS SAMIA NA WANANCHI BARIADI SIMIYU

Shamrashamra za wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Stendi ya zamani Bariadi mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa Stendi ya zamani Bariadi mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025 katika mkutano na wananchi.

Taswira ya mkutano huo.

SRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali.


Burudani zikiendelea kwenye mkutano huo.


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenan Kihongosi akizungumza kwenye mkutano huo.
 

No comments:

Post a Comment