RAIS DKT. SAMIA ALIVYOSHIRIKI HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI KITUO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 5 June 2025

RAIS DKT. SAMIA ALIVYOSHIRIKI HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI KITUO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, viongozi wengine kwenye picha ya pamoja na Wachungaji kutoka majimbo ya Kati, Kaskazini, Kusini, Kusini Magharibi na Zanzibar mara baada ya Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025. 





 

No comments:

Post a Comment