RAIS SAMIA ATEMBELEA MAJIRANI ZAKE MTAA WA MOMBASA, UNGUJA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Monday 15 April 2024

RAIS SAMIA ATEMBELEA MAJIRANI ZAKE MTAA WA MOMBASA, UNGUJA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na majirani zake wa zamani Bi Asha Salum Abdallah ambaye walisoma wote Shule ya Msingi na Sekondari na mume wake Inspekta Mstaafu wa Jeshi la Polisi Rashid Zam Ali pamoja na Binti yao na mjukuu alipotembelea mtaa wa Mombasa, Unguja Zanzibar, tarehe 15 Aprili, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na majirani zake wa zamani Bi Asha Salum Abdallah ambaye walisoma wote Shule ya Msingi na Sekondari na mume wake Inspekta Mstaafu wa Jeshi la Polisi Rashid Zam Ali pamoja na Binti yao na mjukuu alipotembelea mtaa wa Mombasa, Unguja Zanzibar, tarehe 15 Aprili, 2024.

No comments:

Post a Comment