Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, akinywa kahawa na kuzungumza na wananchi katika kijiwe cha kahawa cha Stendi ya zamani mjini Babati, wilayani Babati, Mkoa wa Manyara, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, juzi. Kushoto kwake Mkuu wa Wilaya ya Babati Lazaro Twange. (Picha zote na Fahad Siraji wa CCM).
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, akinywa kahawa na kuzungumza na wananchi katika kijiwe cha kahawa cha Stendi ya zamani mjini Babati, wilayani Babati, Mkoa wa Manyara, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, juzi. Kushoto kwake Mkuu wa Wilaya ya Babati Lazaro Twange. (Picha zote na Fahad Siraji wa CCM).
Shaka akisalimiana na wananchi alipofika eneo la stendi ya zamani mjini Babati akiwa katika ziara hiyo.
NMB WAWAFUNDA MIONO PWANI
-
Na Khadija Kalili Michuzi Tv
MENEJA wa Matawi yote ya Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam na Pwani Seka
Urio amehamasisha wanakijiji wa Kikarokuchagam...
No comments:
Post a Comment