MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS SAMIA ASHIRIKI UCHAGUZI WA SHINA NAMBA 1 LA CCM CHAMWINO IKULU JIJINI DODOMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 30 April 2022

MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS SAMIA ASHIRIKI UCHAGUZI WA SHINA NAMBA 1 LA CCM CHAMWINO IKULU JIJINI DODOMA


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kuwachagua Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wanachama wa CCM mara baada ya kupiga kura kumchagua Mwenyekiti pamoja na Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.

Baadhi ya wanachama wa Shina namba 1 la Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo kabla ya kumpigia kura Mwenyekiti na Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitumbukiza karatasi ya Kura kwenye boksi kuwachagua Wajumbe wa Shina namba 1 la Chama hicho Chamwino Ikulu Jijini Dodoma tarehe 30 Aprili, 2022.

No comments:

Post a Comment