Afisa Mikopo Mwandamizi wa HESLB, Sunday Charles akimkabidhi barua ya kumaliza deni la mkopo wa elimu ya juu, TZS 9,736,900.90 Milioni, mtumishi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga Mary Siphaelly leo Jumapili (Machi 13, 2022) mara ya baada kulipa kiasi cha TZS 1,888,000/- Milioni na kumaliza deni la mkopo huo wakati wa kampeni ya SIFURISHA inayoendelea katika Ofisi za Halmashauri ya Jiji la Tanga.
(PICHA NA HESLB)
Maafisa Mikopo wa HESLB wakitoa huduma mbalimbali kwa wateja leo Jumapili Machi 13, 2022 Mkoani Tanga wakati wa Kampeni ya SIFURISHA inayolenga kuhamasisha urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu inayoendelea katika Ofisi za Halmashauri ya Jiji la Tanga.
Afisa Mikopo Mwandamizi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Sophia Saidan akitoa huduma kwa wateja mbalimbali waliotembelea Banda la HESLB leo Jumapili (Machi 13, 2022) Mkoani Tanga wakati wa kampeni ya SIFURISHA inayoendelea katika Ofisi za Halmashauri ya Jiji la Tanga. Kampeni hiyo inalenga kuhumasisha urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu kutoka kwa wanufaika.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Wata...
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanza...
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
NAIBU WAZIRI WA ELIMU ATEMBELEA NIT.MSAADA MKUU
-
*NA DUNSTAN MHILU*
*NAIBU* Waziri wizara ya Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidhi
Ameir amesema amelidhishwa na utekelezaji wa miradi ya miund...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
No comments:
Post a Comment