UJENZI WA DARAJA LA KITENGULE NA BARABARA UNGANISHI KUKAMILIKA MEI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 22 January 2022

UJENZI WA DARAJA LA KITENGULE NA BARABARA UNGANISHI KUKAMILIKA MEI


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akiangalia mtambo wa kuunganisha mabomba katika shamba la Miwa la kiwanda cha sukari cha Kagera.

Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya daraja la Kitengule lenye urefu wa Mita 40 linalounganisha Wilaya za Misenyi na Karagwe, mkoani Kagera. 

Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya daraja la Kitengule lenye urefu wa Mita 40 linalounganisha Wilaya za Misenyi na Karagwe, mkoani Kagera. 

Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya daraja la Kitengule lenye urefu wa Mita 40 linalounganisha Wilaya za Misenyi na Karagwe, mkoani Kagera. 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akimsikiliza Mhandisi Umwagiliaji  Neema Senyael  wa Kiwanda cha Sukari cha Kagera, alipokagua miundombinu ya kiwanda hicho. 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya awali katika Kiwanda cha Sukari mkoani Kagera, alipotembelea shule hiyo. 

No comments:

Post a Comment