Muonekano wa jengo la madarasa ya shule ya Msingi Mkanyageni yanayojengwa na Mbunge wa Jimbo la Mkoani Prof. Makame Mbarawa katika Mkoa wa Kusini Pemba. |
Shehena ya mbao zilizotolewa kwaajili ya kuezekea madarasa ya shule za msingi Michenzani, Mkanyageni, Ngombeni na zahanati ya Tasini katika Jimbo la Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. |
No comments:
Post a Comment