RAIS MAGUFULI APOKEA GAWIO TOKA KAMPUNI YA MADINI YA TWIGA NA STAMICO - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday, 14 October 2020

RAIS MAGUFULI APOKEA GAWIO TOKA KAMPUNI YA MADINI YA TWIGA NA STAMICO

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio la Tsh. Bilioni Moja na Milioni Mia Moja toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Meja 
Jenerali (Mstaafu) Michael Isamuhyo akishuhudiwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango, Msajili wa Hazina Bw. Athumani Mbuttuka na wajumbe wa bodi hiyo wakati wa hafla ya kupokea gawio toka kwa kampuni ya Madini ya TWIGA na Shirika la Madini la Taifa  STAMICO katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimatifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Oktoba 13, 2020.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipokea tuzo maalumu toka kwa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (Femata), John Bina, na makamu wake wakati wa hafla ya kupokea gawio toka kwa kampuni ya Madini ya TWIGA na Shirika la Madini la Taifa  STAMICO katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimatifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Oktoba 13, 2020.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipokea tuzo maalumu toka kwa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (Femata), John Bina, na makamu wake wakati wa hafla ya kupokea gawio toka kwa kampuni ya Madini ya TWIGA na Shirika la Madini la Taifa  STAMICO katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimatifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Oktoba 13, 2020.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio la Tsh. Bilioni Moja na Milioni Mia Moja toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Meja
Jenerali (Mstaafu) Michael Isamuhyo akishuhudiwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango, Msajili wa Hazina Bw. Athumani Mbuttuka na wajumbe wa bodi hiyo wakati wa hafla ya kupokea gawio toka kwa kampuni ya Madini ya TWIGA na Shirika la Madini la Taifa  STAMICO katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimatifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Oktoba 13, 2020.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipokea gawio la dola milioni 40,000, 106,91 la Kampuni ya Madini ya TWIGA toka kwa Waziri  wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango wakishuhudiwa na  wajumbe wa bodi hiyo wakati wa hafla ya kupokea gawio toka kwa kampuni ya Madini ya TWIGA na Shirika la Madini la Taifa  STAMICO katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimatifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Oktoba 13, 2020.

No comments:

Post a Comment