Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na maelfu ya wananchi wa wilaya ya Temeke wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Benjamin
Mkapa jijini Dar es salaam Ijumaa Oktoba 9, 2020.
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga baada ya mkutano na maelfu ya wananchi wa Temeke katika mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam Ijumaa Oktoba 9, 2020.
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama hicho Tawala Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga baada ya mkutano na maelfu ya wananchi wa Temeke katika mkutano wake wa kampeni katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam Ijumaa Oktoba 9, 2020.
TANZANIA NA MISRI ZASISITIZA KUKUZA USHIRIKIANO
-
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Mhe.
Badr...
No comments:
Post a Comment