MH. MAMA SAMIA HASSAN, AUNGURUMA UWANJA WA HAYDOM MKOANI MANYARA, NI KATIKA KAMPENI ZA CCM - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday, 30 September 2020

MH. MAMA SAMIA HASSAN, AUNGURUMA UWANJA WA HAYDOM MKOANI MANYARA, NI KATIKA KAMPENI ZA CCM

 
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM  katika Uwanja wa Haydom Mkoani Manyara Septemba 30,2020.


Umati wa Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Wialaya ya Mbulu Mjini  wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,  alipokuwa akiwahutubia mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mpira wa Mbulu Mjini Mkoani Manyara leo Septemba 29,2020.


Umati wa Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Wialaya ya Mbulu Mjini  wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,  alipokuwa akiwahutubia mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mpira wa Mbulu Mjini Mkoani Manyara leo Septemba 29,2020.


Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana Viongozi Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Haydom Mbulu Vijijini Mkoani Manyara alipowasili katika uwanja wa Haydom kwa ajili ya kuhutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM  Septemba 30,2020.


Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza  na Mtoto Jaclin Joakim (5) Mwanafunzi wa Chekechea KG 1 Compasicion Ansaly Mbulu na msanii wa kikundi cha Kwaya ya Compasicion Ansaly Mbulu baada ya kutumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika uwanja wa Mbulu Mjini Mkoani Manyara leo Septemba 29,2020. kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Fredrik Sumaye.


No comments:

Post a Comment