Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini, kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja, (wa tatu kushoto) akiwaongoza wawakilishi wa Taasisi
zilizo chini ya Wizara hiyo kumkaribisha Balozi wa
Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Regine Hess, alipofika kujionea huduma na
elimu inayotolewa na Wizara pamoja na Taasisi zake katika Maonesho ya 44 ya
Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Nyerere jijini Dar
es Salaam.
|
Mfumo Mpya wa Kodi Kuleta Mapinduzi Makubwa ya Ukusanyaji wa Mapato Nchini.
-
Na Mwandishi Wetu
Hatua kubwa ya mageuzi ya kodi nchini imefikiwa kufuatia tangazo la kuanza
kutumika kwa mfumo mpya wa ukusanyaji wa kodi za ndani, hatua...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment