Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini, kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja, (wa tatu kushoto) akiwaongoza wawakilishi wa Taasisi
zilizo chini ya Wizara hiyo kumkaribisha Balozi wa
Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Regine Hess, alipofika kujionea huduma na
elimu inayotolewa na Wizara pamoja na Taasisi zake katika Maonesho ya 44 ya
Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Nyerere jijini Dar
es Salaam.
|
NMB Yapata Sh Bilioni 468 Kuchochea Mikopo kwa Wakulima na Wajasiriamali
-
NMB Yapata Dola Milioni 180 Kuongeza Mikopo kwa SMEs, Kilimo na
Wajasiriamali.
IFC, BII na Norfund Zaipa NMB Ufadhili wa Dola Milioni 180
Dola Mili...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment