Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini, kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja, (wa tatu kushoto) akiwaongoza wawakilishi wa Taasisi
zilizo chini ya Wizara hiyo kumkaribisha Balozi wa
Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Regine Hess, alipofika kujionea huduma na
elimu inayotolewa na Wizara pamoja na Taasisi zake katika Maonesho ya 44 ya
Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Nyerere jijini Dar
es Salaam.
|
JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE
-
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao
cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe
mara...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment