MATUKIO PICHA : MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MUDA KATIKA ENEO LA KIYEGEYA WILAYANI KILOSA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 10 March 2020

MATUKIO PICHA : MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MUDA KATIKA ENEO LA KIYEGEYA WILAYANI KILOSA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa barabara ya muda katika eneo la Kiyegeya wilayani Kilosa, Machi 10, 2020. Wa tatu kushoto ni mkewe, Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Rota Sanare. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patric Mfugale  (mwenye kofia) wakati alipokagua ujenzi wa barabara ya muda  katika eneo la Kiyegeya wilayani Kilosa Machi 10, 2020. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Kazi ya ujenzi wa barabara ya muda katika eneo la Kiyegeya wilayani Kilosa Machi 10, 2020. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  amekagua ujenzi huo leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment