Mahakama ya juu ya Pietermaritzburg
nchini Afrika Kusini imetoa hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa rais wa nchi
hiyo, Jacob Zuma baada ya kushindwa kufika mahakamani kukabiliana na
mashtaka kuhusu rushwa dhidi yake.
Hati hiyo itafanya kazi ikiwa
atashindwa kuhudhuria kesi yake itakayoanza mwezi Mei. Bwana Zuma
anakabiliwa na makosa 16 ya kughushi, rushwa , ulaghai na utakatishaji
fedha ukihusisha biashara ya silaha ya thamani ya mabilioni ya dola
iliyofanywa tangu miaka ya 1990.
KRETA YA EMPAKAAI (EMPAKAAI CRATER).
-
Kasoko ya Empakaai ni mojawapo ya Kasoko za volkano ndani ya Hifadhi ya
Ngorongoro, ikiwa na kingo za juu na ziwa zuri linalofunika zaidi ya
asilimia 75 ...
DKT. MWIGULU AKUTANA NA MAWAZIRI WA MAJI NA FEDHA
-
*WAZIRI *Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 03, 2026 amefanya
mazungumzo na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Waziri wa Fedha, Balozi,
Khamis Omar kat...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
No comments:
Post a Comment