VODACOM YAZINDUA DUKA JIPYA JIJINI TANGA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 18 June 2019

VODACOM YAZINDUA DUKA JIPYA JIJINI TANGA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martin Shigella (kulia) akisikiliza jambo kutoka kwa Meneja wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen (mkono wa kulia wa mkuu wa mkoa) wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka jipya la Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. Uzinduzi wa duka hilo ni miongoni umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja katika mikoa mbalimbali nchini. Wa kwanza kushoto ni Meneja wa Vodacom shop, Micheal Mtawali.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella (Kushoto) akisimkiliza Meneja wa Vodacom Mkoa wa Tanga, Fadhili Linga, (kulia) wakati wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. Aliyesimama katikati ni Meneja wa Vodacom Kanda ya kaskazini, Brigita Stephen. Uzinduzi wa duka hilo umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja wake katika mikoa mbalimbali nchini. 

Picha ya pamoja ya wafanyakazi wa Vodacom na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella (Wanne kutoka kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka jipya la Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. Watatu kutoka kulia ni Meneja wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen. Uzinduzi wa duka hilo ni miongoni umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja katika mikoa mbalimbali nchini. 

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Kampuni ya Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. . Uzinduzi wa duka hilo ni miongoni umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja katika mikoa mbalimbali nchini.

No comments:

Post a Comment