HAFLA YA KUCHANGIA KLABU YA YANGA, DIAMOND JUBILEE, DAR - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 15 June 2019

HAFLA YA KUCHANGIA KLABU YA YANGA, DIAMOND JUBILEE, DAR


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikabidhi mchango wa shilingi milioni 10, kwa Mwenyekiti wa Yanga, Dkt. Msolla katika hafla ya kuchangia klabu ya Yanga, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, Juni 15.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Wanachama na wapenzi wa Yanga katika hafla ya kuchangia klabu ya Yanga, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, Juni 15.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, katika hafla ya kuchangia klabu ya Yanga, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, Juni 15.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimsikiliza na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, katika hafla ya kuchangia klabu ya Yanga, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, Juni 15.2019. Katikati ni Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Dkt. Harison Mwakyembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


No comments:

Post a Comment