| Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Tanzania, Joel Festo akitoa neno la shukrani wakati hitimisho la maadhimisho hayo. |
| Msanii na Mwanamuziki Grace Matata akizungumza machache wakati wa maadhimisho hayo. |
| Sehemu ya washiriki wakifuatilia maadhimisho ya siku ya mtoto yaliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuwasaidia watoto duniani iliyoafanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. |
| Baadhi ya washiriki wakifuatilia maadhimisho ya siku ya mtoto yaliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuwasaidia watoto duniani iliyoafanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. |
| Baadhi ya washiriki wakifuatilia maadhimisho ya siku ya mtoto yaliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuwasaidia watoto duniani iliyoafanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. |
| Baadhi ya washiriki wakifuatilia maadhimisho ya siku ya mtoto yaliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa kwa shabaha ya kuwasaidia watoto duniani iliyoafanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. |

No comments:
Post a Comment