Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta
jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura kabla ya
kufunga Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania
katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi kilichopo
Kurasini Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Juni, 2025.
KAMATI YA BUNGE YAIPA KONGOLE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.
-
Na. Emmanuel Buhohela, Dodoma
Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeipongeza Serikali
kwa kutatua kwa kiasi kikubwa changamoto ya upu...
1 hour ago










No comments:
Post a Comment