Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta
jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura kabla ya
kufunga Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania
katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi kilichopo
Kurasini Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Juni, 2025.
NMB yaongeza kasi ya kufadhili biashara za mifugo
-
- Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 bilioni.
Ubena Zomozi; Benki ya NMB imetoa zaidi ya Sh180 bilioni kufadhili wafugaji
na biashara katika mnyororo wa tha...
4 hours ago










No comments:
Post a Comment