Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta
jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura kabla ya
kufunga Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania
katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi kilichopo
Kurasini Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Juni, 2025.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
2 hours ago










No comments:
Post a Comment