RAIS SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI PAMOJA NA MAKUNDI MBALIMBALI IKULU CHAMWINO DODOMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 28 March 2024

RAIS SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI PAMOJA NA MAKUNDI MBALIMBALI IKULU CHAMWINO DODOMA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Iftar aliyowaandalia Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amebeba Kombe la Ubingwa wakati wa picha ya pamoja na Vijana wa Ramadhan Brothers ambao waliibuka washindi wa shindano la America’s Got Talent (AGT) mara baada ya Iftar Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.

Baadhi ya viongozi wa Dini wakiwa kwenye viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 27 Machi, 2024

Baadhi ya viongozi wa Dini wakiwa kwenye viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 27 Machi, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa Futari mtoto Yatima Shuraiya Ramadhan (6) wa Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo Chang’ombe Jijjini Dodoma. Rais Samia aliwaandalia Iftari Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.

Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.

Mapacha wa Mtume Qaswida Hassan na Hussein wakitumbuiza wakati wa Iftar Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiitikia Dua mara baada ya kupata Iftar aliyowaandalia Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.

No comments:

Post a Comment