RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA UTALII WA KASA KATIKA PANGO LA SALAAM KIZIMKAZI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 24 August 2024

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA UTALII WA KASA KATIKA PANGO LA SALAAM KIZIMKAZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uzinduzi wa Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam lililopo Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam lililopo Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam lililopo Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia uzuri wa pango pamoja na Kasa ambao wamekuwa kivutio cha watalii mara baada ya uzinduzi wa Utalii huo katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia uzuri wa pango pamoja na Kasa ambao wamekuwa kivutio cha watalii mara baada ya uzinduzi wa Utalii huo katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia uzuri wa pango pamoja na Kasa ambao wamekuwa kivutio cha watalii mara baada ya uzinduzi wa Utalii huo katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia uzuri wa pango pamoja na Kasa ambao wamekuwa kivutio cha watalii mara baada ya uzinduzi wa Utalii huo katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia uzuri wa pango pamoja na Kasa ambao wamekuwa kivutio cha watalii mara baada ya uzinduzi wa Utalii huo katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia uzuri wa pango pamoja na Kasa ambao wamekuwa kivutio cha watalii mara baada ya uzinduzi wa Utalii huo katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na wananchi waliojumuika kwenye halfa ya uzinduzi wa Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti, 2024.

Baadhi ya Viongozi, wageni mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam, Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 24 Agosti.


No comments:

Post a Comment