| Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani ya Uchaguzi kwa wagombea Ubunge wa Chama hicho mkoani Kigoma mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Mkoa huo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho tarehe 14 Septemba, 2025. |
No comments:
Post a Comment