Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu/Uwekezaji Mh. Angellah Kairuki, pamoja na Waziri wa kilimo, Mh. Japhet Hasunga watembelea maonesho ya #TigoNanenane2020 na kujionea bidhaa na huduma kutoka Tigo.Ambapo katika msimu huu kuna punguzo la bei ya simu zikiwa na Internet BURE mwaka mzima ili kuleta maendeleo kwa wakulima, wavuvi na wafugaji. Tembelea katika viwanja mbalimbali ili kujipatia huduma na bidhaa za Tigo.
DC KONGWA ATAKA WADAU KUTUMIA NJIA MBALIMBALI KUSAMBAZA ELIMU KUHUSU
SUMUKUVU
-
\
*MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akizungumza wakati wa hafla ya
kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza
sumuk...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment