WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuwa idadi ya waliougua ugonjwa wa Corona (COVID 19) hadi sasa imefikia wagonjwa 32 hadi sasa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu inasema kumeongezeka idadi ya wagonjwa wapya watano na vifo vya watu 3. Taarifa zaidi soma katika taarifa hii:-
Saturday 11 April 2020
WALIOAMBUKIZWA CORONA TANZANIA WAFIKIA 32
Tags
# Kitaifa
# MATUKIO PICHA
Share This
About JOE MUSHI
MATUKIO PICHA
Labels:
Kitaifa,
MATUKIO PICHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Joachim Mushi|
Mwenyekiti Tanzania Bloggers Network (TBN) | Mhariri Mkuu wa TheHabarii. | Mail:mushijoa@gmail.com | +255 717 030 060 / +255 756 469 470.
No comments:
Post a Comment