WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuwa idadi ya waliougua ugonjwa wa Corona (COVID 19) hadi sasa imefikia wagonjwa 32 hadi sasa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu inasema kumeongezeka idadi ya wagonjwa wapya watano na vifo vya watu 3. Taarifa zaidi soma katika taarifa hii:-
Siku ya Familia Duniani: Wito wa Kudhibiti Ongezeko la Watu Kuokoa Uchumi
wa Taifa
-
KATIKA maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani, wito umetolewa kwa familia
za Tanzania kuzingatia uzazi wa mpango kama njia muhimu ya kujenga familia
i...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment