WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuwa idadi ya waliougua ugonjwa wa Corona (COVID 19) hadi sasa imefikia wagonjwa 32 hadi sasa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu inasema kumeongezeka idadi ya wagonjwa wapya watano na vifo vya watu 3. Taarifa zaidi soma katika taarifa hii:-
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment