WALIOAMBUKIZWA CORONA TANZANIA WAFIKIA 32 - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 11 April 2020

WALIOAMBUKIZWA CORONA TANZANIA WAFIKIA 32

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuwa idadi ya waliougua ugonjwa wa Corona (COVID 19) hadi sasa imefikia wagonjwa 32 hadi sasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu inasema kumeongezeka idadi ya wagonjwa wapya watano na vifo vya watu 3. Taarifa zaidi soma katika taarifa hii:-


No comments:

Post a Comment