WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuwa idadi ya waliougua ugonjwa wa Corona (COVID 19) hadi sasa imefikia wagonjwa 32 hadi sasa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu inasema kumeongezeka idadi ya wagonjwa wapya watano na vifo vya watu 3. Taarifa zaidi soma katika taarifa hii:-
MWANAMKE CHUMA MAENDELEO GROUP YAWAKUMBUKA WAFUNGWA WANAWAKE GEREZA LA
KAHAMA
-
Na Kadama Malunde - Kahama
Katika kuendeleza jitihada za kijamii na kuonesha mshikamano wa dhati kwa
wanawake wenzao, Kikundi cha wanawake maarufu kinacho...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment