WAZIRI MKUU MAJALIWA NA MCHEZAJI EL HADJI DEOUF WA SENEGAL
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mchezaji nyota wa zamani wa Senegal El Hadji Deouf, wakati wa mechi ya ufunguzi wa Michuano ya AFCON U17, kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Aprili 14, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
No comments:
Post a Comment